Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, amesema kuwa mkoa wa Dar es Salaama una mpango wa kuhakikisha wafanyabiashara wote wa mkoa huo wanafanya biashara zao saa 24 ili kila mwananchi apate fursa ya kufanya mahitaji yake pale anapoona muda.
from MUUNGWANA BLOG http://bit.ly/2SKQSQa
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI......USISAHAU KUSUBSCRIBE
from MUUNGWANA BLOG http://bit.ly/2SKQSQa
Tags
News

