JK katika Mkutano wa “Belt and Road Forum” mjini Beijing, China
Rais Mstaafu wa Serikali ya awamu ya nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete (wa tatu kulia) akiwa pamoja na Viongozi Wastaafu wenzake wakati Mkutano wa “Belt and Road Forum” unaofanyika mjini Beijing, China. kushoto kwake ni Mhe. Madhva Kumar Waziri Mkuu Mstaafu wa Nepal, kulia kwake Waziri Mkuu Mstaafu Japan Mhe. Yukio Hatoyama na Rais Mstaafu wa Ujerumani Mhe Christian Wulff.
from MICHUZI BLOG


No comments