Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, amemteua Moses Mpogole Kusiluka kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Taifa ya Uongozi wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii Tanzania (TASAF).
from MALUNDE 1 BLOG http://bit.ly/2IZo300
RAIS MAGUFULI ATEUA MWENYEKITI WA KAMATI YA TAIFA YA UONGOZI WA TASAF
Reviewed by Tanzania Yetu
on
April 27, 2019
Rating: 5
No comments