BENKI YA DUNIA YAIPATIA TANZANIA MKOPO NAFUU WA SH. TRILIONI 1.5 KUENDELEZA SEKTA ZA ELIMU NA ARDHI
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Emmanuel Tutuba (kulia) na Mkurugenzi wa Benki ya Dunia nchini Tanzania Bi. Mara Warwick wakisaini mikataba miwili ya mkopo wenye masharti nafuu wenye thamani ya dola za Marekani milioni 650 sawa na shilingi trilioni 1.501 kwa ajili ya kugharamia utekelezaji wa mradi wa kuboresha elimu ya msingi na mradi wa kuimarisha usalama wa milki za ardhi nchini.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Emmanuel Tutuba (kulia) na Mkurugenzi wa Benki ya Dunia nchini Tanzania Bi. Mara Warwick , wakibadilishana hati za mikataba miwili ya mkopo wenye masharti nafuu wenye thamani ya dola za Marekani milioni 650 sawa na shilingi trilioni 1.501 kwa ajili ya kugharamia utekelezaji wa mradi wa kuboresha elimu ya msingi na mradi wa kuimarisha usalama wa miliki za ardhi nchini.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Emmanuel Tutuba (kulia) na Mkurugenzi wa Benki ya Dunia nchini Tanzania, Mhe. Bi. Mara Warwick, wakionesha mikataba miwili ya mkopo wenye masharti nafuu wenye thamani ya dola za Marekani milioni 650 sawa na shilingi trilioni 1.501 kwa ajili ya kugharamia utekelezaji wa mradi wa kuboresha elimu ya msingi na mradi wa kuimarisha usalama wa miliki za ardhi nchini.
No comments