EDWIN SOKO AUAGA UKAPELA...AFUNGA PINGU ZA MAISHA NA LULU
byTanzania Yetu-
0
Mwenyekiti wa Chama cha waandishi wa habari mkoani Mwanza ( MPC ) Bwana.Edwin Soko amefunga pingu za maisha na Bi. Lulu Jamson katika Parokia ya Mt.Magreth wa Scotland Jijini Mwanza