TANZANIA SASA VIPIMO VIKUBWA VYA MAGONJWA NI VYA UHAKIKA
#KAZIINAONGEA
Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan imeendelea kuimarisha na kuboresha upatikanaji wa vifaa tiba na uchunguzi wa magonjwa makubwa na madogo lengo likiwa ni kuendelea kutoa tiba stahiki kulingana na ugonjwa katika hospitali mbalimbali nchini.
Katika kipindi cha miezi saba kuanzia Januari -Juni 2024, jumla ya wagonjwa 531,861 walipatiwa huduma za uchunguzi wa magonjwa mbalimbali.
Kwa mujibu wa takwimu kutoka wizara ya afya Wagonjwa waliotumia MRI ni 28,877, CT SCAN 38,778, Ultra Sound 237,201 na Digital X-Ray 227,005.
*#KAZIINAONGEA*
TANZANIA SASA VIPIMO VIKUBWA VYA MAGONJWA NI VYA UHAKIKA
Reviewed by Tanzania Yetu
on
December 17, 2024
Rating: 5
Reviewed by Tanzania Yetu
on
December 17, 2024
Rating: 5
.jpeg)
No comments