Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Januari 20, 2025 amekutana na wajumbe wa Tume ya Rais ya Marekebisho ya Kodi ofisini kwa Waziri Mkuu, Mlimwa jijini Dodoma.
Wajumbe hao waliongozwa na mwenyekiti wa tume hiyo Balozi Ombeni Sefue.
Waziri Mkuu akutana na Wajumbe wa Tume ya Rais ya marekebisho ya Kodi
Reviewed by Tanzania Yetu
on
January 20, 2025
Rating: 5
No comments