Karibu WANDAMAN HOTEL – mfalme mpya wa huduma bora mjini Shinyanga.
Tupo Mwasele– Shinyanga Mjini, mkabala na Musoma Food, tukikuletea uzoefu wa kipekee wa mapumziko, mikutano na malazi ya hadhi ya juu katika mazingira tulivu, safi na ya kisasa.
✨ Huduma Zetu Kuu:
๐️ Vyumba vya kulala vya kisasa, safi na vyenye hadhi
๐ฝ️ Huduma bora na ladha ya kipekee ya vyakula
๐ณ Mandhari ya kuvutia, hewa safi na mazingira tulivu (tumezungukwa na miti)
๐ค Wahudumu wakarimu, waaminifu na wenye weledi wa hali ya juu
๐ง๐ผ Vyumba vya Executive kwa mikutano na vikao maalum
๐ข Kumbi za mikutano kwa semina, warsha na mikusanyiko mbalimbali
๐ Mahali: Mwasele – Shinyanga Mjini
๐ Mkabala na Musoma Food
๐ผ Iwe ni kwa mkutano wa kikazi, safari, mapumziko binafsi au kuwahudumia wageni wako muhimu,
WANDAMAN HOTEL NDIO CHAGUO SAHIHI!
๐ Mawasiliano Yetu:
๐ Street: Mwasele
๐ Block No. 533
☎️ Simu:
+255 770 601 666
0757 281 271
0672 166 342
0754 484 965
๐ง E-mail: wandamanhoteltz@gmail.com
๐ธ Instagram: wandamanhotel
๐ Facebook: Wandaman Hotel
✨ WANDAMAN HOTEL – Hadhi, Utulivu na Huduma Bora. ✨




from MALUNDE 1 BLOG https://ift.tt/sG5OE3z








































