RAIS
DKT.JOHN POMBE MAGUFULI ALIPOKWENDA KUMJULIA HALI MAMA YAKE MZAZI BIBI. SUZANA MAGUFULI ANAYEPATIWA MATIBABU
JIJINI DAR ES SALAAM.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Wasaidizi
wake wakimuombea Mama yake Mzazi Bibi. Suzana Magufuli anayepatiwa
Matibabu Jijini Dar es Salaam. Desemba
30, 2018. Bibi Suzana Magufuli anasumbuliwa na ugonjwa wa Kiharusi ambapo
amekuwa akipatiwa matibabu kwa takribani miezi mitatu sasa.
PICHA NA IKULU


