Breaking News

Picha: Katibu Mkuu Wizara ya Nishati Dkt. Mwinyimvua atoa pongezi kwa Tanesco


Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Dkt. Hamisi Mwinyimvua amewapongeza wataalamu wa
Shirika la Umeme Nchini TANESCO kwa kazi kubwa wanayofanya ya kuhakikisha Umeme
unawafikia wateja licha ya changamoto ambazo zinawakabili.

Dkt. Mwinyimvua ametoa pongezi hizo wakati alipotembelea Vituo vya kufua Umeme wa gesi  vya Ubungo I, Ubungo II, Songas










from MUUNGWANA BLOG https://ift.tt/2GP5MSR

No comments