Waziri wa Habari, Harrison Mwakyembe amelielekeza Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi nchini kumchukulia hatua Msanii Dudu Baya kwa kumdhihaki Marehemu Ruge Mutahaba.
Tangu kutokea kwa taarifa za kifo cha Ruge jana, Dudubaya amekuwa akitoa maneno mtandaoni kumdhihaki Ruge akimtuhumu kuwa enzi za uhai wake alikuwa mnyonyaji wa wasanii.
Dudubaya amepost vipande vya video katika mtandao wa Instagram akimdhihaki Marehemu Ruge
WAZIRI MWAKYEMBE AAGIZA DUDUBAYA ACHUKULIWE HATUA KWA KUMDHIHAKI MAREHEMU RUGE
Reviewed by Tanzania Yetu
on
February 27, 2019
Rating: 5
Kwa mara ya saba mfululizo tunakuletea Atlas Schools Half Marathon 2025 itakayofanyika Tarehe 14/10/2024* (NYERERE DAY)* katika viwanja vya Atlas Schools Madale. Jisajili sasa kushiriki kwa ada ya Tshs 35,000/= tu na utapata Tshirt, Medal, Wristband na burudani kemkem ikiwepo nyamachoma na Live band. Zawadi nono kutolewa kwa washindi na washiriki wote kwa ujumla. Unaweza kufanya usajili sasa kwa kulipia ada ya ushiriki Tshs 35,000 katika Lipa Namba ya Tigo 5927380 Atlas Schools kisha ukatuma taarifa zako za size ya Tshirt, umbali utakaokimbia katika namba 0787651656 au namba 0715651656. Wahi sasa kufanya usajili kwani Mbio ni ya Viwango na nafasi ni chache Mnno. "Protect nature, preserve the future"
No comments