Mgombea Ubunge wa CCM Jimbo la Kawe Askofu Josephat Gwajima ametangazwa kuwa mbunge mteule wa jimbo hilo baada ya kupata kura 194,833 akifuatiwa na Halima Mdee wa CHADEMA aliyepata kura 32,524.
from MALUNDE 1 BLOG https://ift.tt/2HPPOtM
Halima Mdee Apoteza Jimbo la Kawe
Reviewed by Tanzania Yetu
on
October 29, 2020
Rating: 5
No comments