Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Kawe amemtangaza Askofu Josephat Gwajima wa CCM kuwa mshindi wa Ubunge katika Jimbo hilo kwa kura 194,833 akifuatiwa na Halima Mdee (CHADEMA) mwenye kura 32,524.
from MICHUZI BLOG
NI ASKOFU GWAJIMA JIMBO LA KAWE
Reviewed by Tanzania Yetu
on
October 29, 2020
Rating: 5
No comments