Breaking News

MAREHEMU KAKATAA KUZIKWA NA KUIBUA TAFRANI MJINI



Mji mdogo wa Kisii nchini Kenya ulijikuta katika majonzi na mshangao huku mwili wa Fetty Moraa, anayedaiwa kuuawa na mumewe, ukikataa kuzikwa hadi pale Kiwanga Doctors ambao ni wabobezi wa tiba asilia walipoingilia kati suala hilo.

Tukio hilo la kusikitisha lilitokea mwaka 2021 na kuibua mshtuko kwa jamii, mamlaka za eneo hilo zilichukua hatua haraka za kumkamata mume wa Moraa ambaye ni mshukiwa mkuu wa uhalifu huo wa kutisha.

Walakini, kilichofuata ni hali ambayo sio ya kawaida iliyoacha gumzo katika eneo hilo, hali hiyo ni kwamba mwili huo uligoma kuzikwa jambo ambalo liliwaacha katika sintofahamu waombolezaji.


from MALUNDE 1 BLOG https://ift.tt/jt7aGn1

No comments