Breaking News

UVUTAJI SIGARA KWA MIAKA 20 ULIVYOIWEKA MATATANI NDOA YAKE



Kwa miaka mingi nilikuwa napambana kuhakikisha kuwa naacha kuvuta Sigara lakini hilo lilinishinda kabisa, kuna wakati niliweza kukaa hata wiki moja bila kuvuta lakini nikipita mahali nikasikia mtu anavuta ghafla kiu inakuja.

Tayari mwili wangu ulikuwa umeanza kupata madhara kutokana na uvutaji Sigara, kila mara nilikuwa nakohoa hasa nyakati za usiku, jambo hilo lilikuwa linamkwaza sana mke wangu kiasi kwamba aliamua kuhama chumba tulichokuwa tunaishi pamoja.

Nilianza kutumia dawa za mitishamba na kufuata aina flani ya kanuni za kisaikolojia ili kuweza kuondoka katika kifungo hicho lakini sikweza kufanikiwa.



from MALUNDE 1 BLOG https://ift.tt/FhSjJoO

No comments