Breaking News

ADONIS BITEGEKO ATEULIWA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA MULEBA KASIKAZINI


Ndugu Adonis Bitegeko aliyeteuliwa na Halmashauri kuu ya Ccm ( NEC) kugombea Ubunge Jimbo la Muleba Kasikazini.


Na Mariam Kagenda _Kagera 

Halmashauri kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC) Taifa imemteua Ndg Adonis Bitegeko kugombea Ubunge katika Jimbo la Muleba Kasikazini katika Uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika tarehe 29 Octoba 2025 





from MALUNDE 1 BLOG https://ift.tt/i6BVxU8

No comments