Breaking News

Tanesco yawakumbusha wateja kutumia umeme wa nishati safi msimu wa Sikukuu

 Uploading: 424782 of 424782 bytes uploaded.

Na Mwandishi wetu

Shirika la Umeme Tanzania Tanesco imewakumbusha wateja wake katika msimu wa sikukuu kwa kupikabkwa kutumia umeme wa nishati safi na salama

Imesema kutumia umeme huo unaokoa muda jikoni,utalinda afya ya mtumiaji na ni kwa gharama nafuu.

Vyakula vyote vya sikukuu vinaweza kupikwa kwa chini ya unit 1 tu ya umeme ambayo ni sawa na shilingi 356 tu!

Uploading: 66022 of 66022 bytes uploaded.



No comments