Breaking News

TRA SHINYANGA YAANDAA FUTARI MAALUM KWA WATEJA NA WANANCHI

Mamlaka ya Mapato Tanzania, Tanzania Revenue Authority (TRA) Mkoa wa Shinyanga imeandaa futari maalum kwa wateja wake pamoja na wananchi wa mkoa huo, ikiwa ni sehemu ya kuimarisha mahusiano na kutoa elimu kuhusu masuala ya kodi.

Futari hiyo imefanyika Machi 17, 2026, ikiwakutanisha wafanyabiashara,  wananchi, viongozi wa serikali, walipakodi pamoja na maafisa wa TRA, ikiwa na lengo la kujenga ukaribu na kuhamasisha ulipaji sahihi wa kodi kwa maendeleo ya taifa.





from MALUNDE 1 BLOG https://ift.tt/mfpo1eR

No comments