Dereva wa Uber anayeshutumiwa kufanya mauaji ya watu sita kwa nyakati tofauti katika jimbo la Michigan nchini Marekani mwaka 2016 amekiri makosa ya kuuwa, kutaka kuuwa na matumizi mabaya ya silaha.
Watu wanne waliuawa katika mgahawa, na wawili katika gereji ya magari wakati wa maigano ya risasi mjini Kalamazoo.
Jason Dalton mwenye umri wa miaka 48, awali alielekeza shutuma zake kwa programu ya simu ya Uber kuwa inadhibiti akili na mwili wake.
Lakini alibadili kauli yake muda mchache kabla ya kusikilizwa tena kwa kesi yake.
Hakuna chochote alichoahidiwa bwana Dalton ili akiri kuuwa, wakili alisema.
Mashtaka yake yamejumuisha makosa matatu, kutaka kuua mara mbili, kuuwa watu sita na matumizi mabaya ya silaha. Na sasa anakabiliwa na hukumu ya kifungo cha maisha.
from MUUNGWANA BLOG http://bit.ly/2RJpHYN
Watu wanne waliuawa katika mgahawa, na wawili katika gereji ya magari wakati wa maigano ya risasi mjini Kalamazoo.
Jason Dalton mwenye umri wa miaka 48, awali alielekeza shutuma zake kwa programu ya simu ya Uber kuwa inadhibiti akili na mwili wake.
Lakini alibadili kauli yake muda mchache kabla ya kusikilizwa tena kwa kesi yake.
Hakuna chochote alichoahidiwa bwana Dalton ili akiri kuuwa, wakili alisema.
Mashtaka yake yamejumuisha makosa matatu, kutaka kuua mara mbili, kuuwa watu sita na matumizi mabaya ya silaha. Na sasa anakabiliwa na hukumu ya kifungo cha maisha.
from MUUNGWANA BLOG http://bit.ly/2RJpHYN
Tags
News

