Breaking News

BEI ZA BIDHAA MBALIMBALI KATIKA SOKO LA MAKUMBUSHO JIJINI DAR ES SALAAM

 Bei za bidhaa mbalimbali katika soko  la Makumbusho wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam,kamazinavyo onekana katika picha.(Picha na Emmanuel Massaka,MMG)
 Bei ya mahindi kilomoja ni shilingi 1000,uliezi 1700.
Wafanya biashara wa ndizi  katika soko la Mbakumbusho wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam wakisubili wateja wanaotoka sehemu mbalimbali ambapo mkungu wa ndini ni shilingi 15000-25000.

Lango kuu la kuingilia katika  soko la Makumbusho lilipo wilaya ya Kinondoni jijini Da es Salaam.


from MICHUZI BLOG

No comments