Breaking News

UWT IRINGA ILIVYOADHIMISHA MIAKA 42 YA KUZALIWA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)

UWT mkoa wa Iringa imeadhimisha  miaka 42 ya kuzaliwa chama Cha Mapinduzi ccm kwa kushiriki shuguhuli  za kijamii pamoja na wananchi.

Katika maadhimisho yaliyofanyika katika Kijiji Cha Tanangozi  kata ya Msekeha halmashauri ya Iringa vijiji,UWT ilikabidhi mifuko 40 ya Saruji katika Shule ya sekondari Tanangozi kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa vyumba vya madarasa,walipanda  miti 30 ya Parachichi  katika shamba la shule na kufyatua tofari kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa vyumba vya madarasa unaoendelea.

Mgeni rasm katika maadhimisho hayo alikuwa Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa Dkt.Abel Nyamahanga.






















from MICHUZI BLOG

No comments