Breaking News

POLISI ARUSHA WAJENGA NYUMBA ZAO SIKU YA MUUNGANO


Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo akishiriki kubeba matofali wakati wa ujenzi wa nyumba za askari polisi eneo la Njiro mjini Arusha ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Sherehe za Muungano.
 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha (RPC), Jonathani Shana akimkaribisha Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo kushiriki ujenzi wa nyumba Sita za Polisi eneo la Njiro mjiani Arusha jana ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Sherehe za Muungano.
 Askari na baadhi ya Maofisa wa Jeshi la Polisi mkoani Arusha wakishiriki usaombaji wa matofauri wakati wa ujenzi wa nyumba za makazi kwa askari hao eneo la Njiro mjini Arusha ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya sherehe za Muungano. 
 Askari Polisi wakiwa chini ya msingi kwa ajili ya kumwaga zege wakati wa ujenzi wa nyumba za askari eneo la Njiro mjini Arusha ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya sherehe za Muungano.
 Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo mwenye jacket akiwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha (RPC), Jonathan Shana wakishiriki kubeba zege wakati wa ujenzi wa nyumba za polisi eneo la Njiro mjini Arusha ikiwa ni sehemu ya sherehe za Muungano.
  Askari na baadhi ya Maofisa wa Jeshi la Polisi mkoani Arusha wakishiriki usaombaji wa matofauri wakati wa ujenzi wa nyumba za makazi kwa askari hao eneo la Njiro mjini Arusha ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya sherehe za Muungano. 
 
 


from MICHUZI BLOG

No comments