TAARIFA YA MSIBA
Ndugu Ephraim Kinabo Lyaruu wa Sinon Lemara Arusha anasikitika kutangaza kifo cha mdogo wake Engineer Isaac Hipollyte Lyaruu , kilichotokea tarehe 22/04/2019 katika hospital ya Mount Meru, Arusha .
Mipango ya Mazishi inafanyika nyumbani kwake AICC Arusha, Mazishi yatafanyika siku ya jumamosi Tarehe 27/04/2019 Shambani kwake Himo Moshi,njia panda ya Kilema ,habari ziwafikie ndugu,jamaa na marafiki .
from MICHUZI BLOG

No comments