Breaking News

Breaking News: Tanzania yathibitisha kifo cha kwanza cha virusi vya Corona


Wizara ya afya kupitia waziri Ummy mwalimu ametangaza kifo cha kwanza cha mgonjwa wa corona Tanzania ambaye ni Mtanzania ambaye mbali na corona alikuwa anasumbuliwa na magonjwa mengine.

Endelea kutufuatilia tutakujuza zaidi

from MUUNGWANA BLOG https://ift.tt/2JqpjbR

No comments