Breaking News

Sadio Mane ajitolea kujenga hospitali kubwa katika mji aliozaliwa nchini Senegal


Nyota wa kabumbu wa kimataifa kutoka Senegal na nyota wa timu ya Liverpool nchini Uingereza  amefahamisha kuazna  ujenzi wa hospitali  kubwa katika mji alipoazliwa nchini Senegal katika juhudi na mchango wake dhidi ya virusi vya corona.

Muakilishi wa mchezaji huyo  Bjorn Bezemer amewafahamisha wanahabari nchini Senegal kuwa  ujenzi wa hospitali  uliofadhiliwa na nyota huyo umeanza katika mji wa Bambali , mji alipozaliwa nyota huyo umeanza.

Bezemer amesema kuwa ujenzi wa hospitali hiyo unagharibu kiwango cha dola milioni 3,5.

Ikumbukwe kwamba Sadio Mane alijenga pia shule katika  mji huo.

Rais wa Senegal Macky Sall amepongeza msaada huo wa Sadio Mane.



from MUUNGWANA BLOG https://ift.tt/3bFecru

No comments