Breaking News

VIDEO: Jeshi la polisi lakamata watu sita kwa tuhuma za mauaji ya askari Mkoani Tabora


Kaimu kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa tabora Lauliani Fabiani akizungumza na wandishi wa habari amesema Watu sita wamekwamatwa na jeshi la polisi mkoa wa tabora kwa kuhusishwa na tuhuma za mauwaji ya asikari  wa Jwtz kikosi cha 262 milambo  Samweli Machugu Antoni  yaliyo fanyika mwanzoni mwa wiki hii maeneo ya kidatu B kata ya ipuli manispaa ya Tabora.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI...USISAHAU KU SUBSCRIBE



from MUUNGWANA BLOG https://ift.tt/3aKemxF

No comments