Breaking News

TAKUKURU yaokoa Sh bilioni 1.2 Mkoani Iringa



TAKUKURU mkoani Iringa katika kipindi cha mwezi Januari hadi Juni, 2020 imeokoa kiasi cha fedha zaidi ya shiliingi bilioni 1.2 na magari mawili aina ya Fuso Mitsubishi lenye namba ya usajili T 165 BLW na Nissan Serena yenye usajili T 311 DDF kutokana opresheni mbalimbali.

from MUUNGWANA BLOG https://ift.tt/2SSTHk5

No comments