Msimamizi wa uchaguzi katika jimbo la singida mjini amemtangaza Ramadhani Sima wa CCM kuwa mshindi wa ubunge wa jimbo hilo kwa kupata kura 23,220 akifuatiwa na Rehema Nkoha wa Chadema aliyepata kura 15,467
from MUUNGWANA BLOG https://ift.tt/3mumbwU
Ramadhani Sima ashinda ubunge Singida mjini
Reviewed by Tanzania Yetu
on
October 29, 2020
Rating: 5
No comments