Rais aliekuwa madarakani nchini Senegal ashinda katika uchaguzi
Rais  aliekuwa madarakani  nchini Seengal Macky Sall ameshinda katika uchaguzi mkuu ulioanyika nchini humo kama inavyoonesha matokeo ya  kwanza ya uchaguzi huo.
Macky Sall amegombea kiti cha urais katika uchaguzi huo kupitia tikiti ya chama tawala.
Vyama vya upinzani nchini humo vimetoa msiamamo tofauti vikifahamisha kuwa huenda vikakata rufaa na kupinga matokeo ya uchaguzi.
Macky Sall ameshinda kiti cha urais katika mzunguko wa kwanza. Zoezi la upigaji kura lilianza mapema Jumapili na kumaliza majira ya jiano ambapo vituo vya mwisho vya kupiga kura vilifungwa usiku saa tatu majira ya Senegal.
Idrissa Seck, mmoja miongoni mwa wagombea wa upinzani aliwasili katika ngome yake ya mjini Thiès, akishirikiana na Ousmane Sonko, mgombea mwengine wa upinzani anayewania kiti cha urais.
Bila kutaja kura alizopata, kiongozi huyo wa chama ch Rewmi alitoa wito kwa wafuasi wake kujiandaa kwa duru ya pili ya uchaguzi kwa utulivu huku akishtumu chama tawala na mgombea wake Macky Sall wizi wa kura.
from MUUNGWANA BLOG https://ift.tt/2U8eC1j
Macky Sall amegombea kiti cha urais katika uchaguzi huo kupitia tikiti ya chama tawala.
Vyama vya upinzani nchini humo vimetoa msiamamo tofauti vikifahamisha kuwa huenda vikakata rufaa na kupinga matokeo ya uchaguzi.
Macky Sall ameshinda kiti cha urais katika mzunguko wa kwanza. Zoezi la upigaji kura lilianza mapema Jumapili na kumaliza majira ya jiano ambapo vituo vya mwisho vya kupiga kura vilifungwa usiku saa tatu majira ya Senegal.
Idrissa Seck, mmoja miongoni mwa wagombea wa upinzani aliwasili katika ngome yake ya mjini Thiès, akishirikiana na Ousmane Sonko, mgombea mwengine wa upinzani anayewania kiti cha urais.
Bila kutaja kura alizopata, kiongozi huyo wa chama ch Rewmi alitoa wito kwa wafuasi wake kujiandaa kwa duru ya pili ya uchaguzi kwa utulivu huku akishtumu chama tawala na mgombea wake Macky Sall wizi wa kura.
from MUUNGWANA BLOG https://ift.tt/2U8eC1j

No comments