VIDEO: Makamu wa Rais akerwa na uchafu Tabora
Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh .Samia Hassan suluhu leo ameendesha kongamano la mazingira mjini Tabora huku akibainisha kuwa licha ya juhudi kubwa ambazo zimefanywa na serikali ya mkoa huo katika zoezi zima la upandaji wa miti ili kuunusuru mkoa wa Tabora kugeuka jangwa lakini bado hali ya usafi wa mazingiara si ya kuridhisha kutokana na maeneo mengi kwenye mkoa huo kuwa ma chafu.
from MUUNGWANA BLOG https://ift.tt/2U4ybHv
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI......USISAHAU KUSUBSCRIBE
from MUUNGWANA BLOG https://ift.tt/2U4ybHv
No comments