Breaking News

Wachezaji wa Ligi kuu England wagoma kukatwa mishahara

Wachezaji wa Ligi kuu England (EPL), wamegoma kukatwa mishahara yao katika kipindi hiki, licha ya kuelezwa kwamba, klabu zao zitapata hasara ya pauni bilioni 1.137 kutokana janga la virusi vya Corona.

from MUUNGWANA BLOG https://ift.tt/3aK9NDB

No comments