Wachezaji wa Ligi kuu England (EPL), wamegoma kukatwa mishahara yao katika kipindi hiki, licha ya kuelezwa kwamba, klabu zao zitapata hasara ya pauni bilioni 1.137 kutokana janga la virusi vya Corona.
from MUUNGWANA BLOG https://ift.tt/3aK9NDB
Wachezaji wa Ligi kuu England wagoma kukatwa mishahara
Reviewed by Tanzania Yetu
on
April 05, 2020
Rating: 5
No comments