Breaking News

Watu 73 wafariki ndani ya masaa 24 kwa Covid-19 Uturuki


Idadi ya watu waliofariki kwa virusi vya corona  nchini Uturuki yazidi kuongezeka.

Watu  73 waripotiwa kufariki  ndani ya masaa  24  kwa virusi vya corona nchini Uturuki.

Kutokana na vifo hivyo, idadi ya watu waliofariki yaripotiwa kuongezeka na kufikia watu 574.

Ndani ya masaa 24 watu 73 wameripotiwa kufariki Uturuki.

Watu  3135 wamegunduliwa  kuwa na virusi vya corona miongoni mwa watu 20 065 waliopimwa.

Watu 256 wameripotiwa kupona Covid-19 baada ya kupatiwa matibabu.

from MUUNGWANA BLOG https://ift.tt/2RfYfAi

No comments