Breaking News

Waziri wa mambo ya nje wa Uturuki ampa pole waziri mkuu wa Uingereza


Waziri wa mambo  ya nje wa Uturuki ampa pole waziri mkuu wa Uingireza Boris Johnson baada ya kulazwa hospitali.

Waziri wa mambo ya nje wa Uturuki  amezungumza na Dominic Raab kwa njia ya simu muda mchache baada ya  Boris Johnson kutangazwa kuwa amepelekwa hospitali  kutokana na virusi vya corona.

Taarifa iliotolewa na ofisi ya waziri ya mambo ya nje wa Uturuki imesema kuwa  Çavuşoğlu amempa pole waziri mkuu wa Uingereza Boris Johnson na kumtakia afya njema baada ya matibabu.

from MUUNGWANA BLOG https://ift.tt/34djwzP

No comments