Jimbo la Ukonga, ameshinda Jerry Silaa, wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kuwa ndiye mbunge wa jimbo hilo baada ya kupata kura 120,936 na kumshinda Asia Msangi wa Chadema aliyepata kura 21,634.
from MUUNGWANA BLOG https://ift.tt/35QJHxm
Jerry Silaa ashinda ubunge Jimbo la Ukonga
Reviewed by Tanzania Yetu
on
October 30, 2020
Rating: 5
No comments