
Bw. Benjamin Lukubha Ngayiwa (Kushoto) mapema leo amekabidhiwa rasmi Fomu ya Uteuzi kugombea kiti cha Ubunge Jimbo la Kahama Mjini na Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo hilo Bw. Sadick Kigaile kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM).
from MALUNDE 1 BLOG https://ift.tt/QxLGWwe
No comments