Golikipa wa timu ya Aston Villa asimulia alivyoteswa na virusi vya corona
“Kikohozi kikavu, kichwa kuuma mfululizo, mwili kuchoka, lakini kitu kilichonitisha zaidi ni kukosa hewa ya oxygen kwa dakika 25, ilikuwa ni kama vile koo limeziba na hewa haiwezi kupita”, Golikipa wa Aston Villa, Pepe Reina akiwa ameanza kupata nafuu ya ugonjwa wa #Covid_19
from MUUNGWANA BLOG https://ift.tt/3dNfgLW

No comments