Breaking News

Watu 63 wafariki kwa virusi vya corona ndani ya saa 24 Uturuki


Wizara ya afya ya  Uturuki imetangaza vifo  vya  watu  63 na kufanya idadi ya watu waliofariki kwa virusi vya corona kuongezeka na kufikia watu  277.

Watu 14 396 wamepimwa virusi vya corona, miongoni mwao wamegunduliwa kuwa na virusi hivyo na kufanya idadi ya watu walioathiriki nayo kuongezeka  na kufikia watu  15679.

Akizungumza  kuhusu   wito wa kutotoka nje, waziri wa  afya wa Uturuki Fahrettin Koca  amesema kuwa mapambano dhidi ya Covid- ni vita tosha katika wizara ya afya na virusi.

Kwa upande mwingine , waziri Koca amefahamisha kuwa watu  333 wamepona baada ya upatiwa matibabu.


from MUUNGWANA BLOG https://ift.tt/2WZP8aq

No comments