Treni zageuzwa kuwa hospitali za uangalizi India
Waziri Mkuu wa Taifa hilo Narendra Modi, alitangaza watu kutotoka nje siku ya Machi 25 na shirika hilo lilipewa muda wa kusafirisha abiria wanaotumia usafiri huo hadi Aprili 14, ila wamesitisha kutokana na ugonjwa huo kusambaa kwa wingi nchini humo.
April 1 nchi ya India iliweka rekodi ya kutangaza kesi 4,288 ya Virusi vya ugonjwa wa Corona na vifo 117 vya ugonjwa huo.
from MUUNGWANA BLOG https://ift.tt/3e32YPB


No comments