ASKARI AVUA SARE KAZI BAADA YA KUPATA HABARI MKEWE ANAISHI NA MCHUNGAJI

Askari mmoja wa kituo cha polisi aliibua mshangao baada ya kuamua kuvua sare hadharani na kutangaza kuacha kazi mara moja. Tendo hilo lililotokea karibu na kituo cha polisi mchana wa saa saba liliwashangaza wengi, huku wakazi wakijitokeza kwa wingi kushuhudia. Wengi walidhani huenda askari huyo alipata mshtuko wa akili, lakini muda si mrefu ukweli wa kusikitisha ulifichuka.
from MALUNDE 1 BLOG https://ift.tt/YilGQTg
No comments